Picha: Lowassa akiwa Biharamulo Magharibi

Picha: Lowassa akiwa Biharamulo Magharibi

Huyu Moderator ni MwanaCCM haiwezekani Zaidi ya Nusu saa nzima umeombwa uitoe bado ipo
 
Lowassa wakimbizee hao sisi kazi yetu ni kutimiza wajibu wetu hapo tarehe 25 wakiongóa ccm
 
Zanzibar na mombasa wataelewa vingine kichwa cha habari. Aliwa?

Wewe m.senge kwanini uitaje Zanzibar na Mombasa!!!!????

Kwanini hukujitaja wewe mwenyewe wakati hiyo ndio tabia yako ya kuliwa!!???

Uwe na adabu na kuheshimu watu wenye imani tofauti na yako!!! Mbona huo mfano wako hukuutoa kwa kufananisha na nchi ambazo wamehalalisha ndoa za jinsia moja!!?
 
Hongera kaka kama Masumbwe wamebadilika hivyo basi tushashinda mapema tu. Sahihisha heading mkuu Ocampo
 
Huyu Moderator ni MwanaCCM haiwezekani Zaidi ya Nusu saa nzima umeombwa uitoe bado ipo

Kweli kabisa.... Tumelalamika muda mrefu wako kimya... Ila sishangai siku hizi Mods sio wale wa zamani...

Masaki at work
 
Mashahidi wa Mabadiliko,tafuta picha za enzi ya uhuru wa Tanganyika uone watoto waliokuwepo.
Ingekuwa hawa watoto wamehudhuria mkutano wa Magufuli sijui kama ungekumbuka hiyo historia ya Tanganyika.
 
Masha ndani,, huyu Lowassa bana mbona unawakimbiza watu sana, hebu punguza aiseeee.
Magufuli kapumzika tena siku ya leo

Kamuwachia aibu samia mjini bukoba maana pamoja na kusomba watu kutoka vijijini lkn haikusaidia
 
Wakuu inachukua masaa mangapi kubadirisha kichwa cha habari? Au leo @mod wapo off maana lao ni Nyerere day
 
kama Daudi alimshinda goliath kwa kombeo na jiwe,basi ni hakika Magufuli atamshinda Lowassa na kuwa Rais wa awamu ya tano.God is able.


Leo hii Lowassa na Ukawa wamekuwa Goliath?
 
Back
Top Bottom