Picha: Lowassa akiwa Biharamulo Magharibi

Picha: Lowassa akiwa Biharamulo Magharibi

Sina matatizo hata kidogo. Endeleeni kutengeneza "nyomi", hata ikibidi kutumia watoto wadogo.
Mgombea udiwani kupitia SiSiEm amegoma kupeleka wapiga kura wake kwenye mkutano wa kufunga kampeni jijini Mwanza kwa kuhofia wapiga kura wake watatelekezwa na kushindwa kurudi kijijini kumpigia kura!
 
Tunaomba picha za geita . kwa hali inavyoonyesha Kanda ya ziwa ndiyo itampatia ushindi lowasa ingawa kila mahali wanampenda lakini Kanda ya ziwa na mbeya wamezidisha.
 
Tunaomba picha za geita . kwa hali inavyoonyesha Kanda ya ziwa ndiyo itampatia ushindi lowasa ingawa kila mahali wanampenda lakini Kanda ya ziwa na mbeya wamezidisha.

Za Jana geita ilikuwa balaa na tuliziweka hapa jamvini pia mkuu
 
Sasa tulinde kura na kuhakikisha talling system ya NEC inafanya kaz sawia... hakuna vituo feki.... maana juhudi zote hizi zinaweza badilishwa kwa kubonyeza button moja tu ya computer....
 
Mgombea udiwani kupitia SiSiEm amegoma kupeleka wapiga kura wake kwenye mkutano wa kufunga kampeni jijini Mwanza kwa kuhofia wapiga kura wake watatelekezwa na kushindwa kurudi kijijini kumpigia kura!
Lakini hiyo haibadilishi kwamba kwenye mkutano wa Lowassa huko Biharamulo watoto wadogo walikuwa wengi sana. Wanaonekana kwenye hizo picha wazi wazi.
 
Sina matatizo hata kidogo. Endeleeni kutengeneza "nyomi", hata ikibidi kutumia watoto wadogo.
Unateseka bureeee! uchaguzi utafanyika na mshindi atajulikana! shida ipo kwa CCM wanaosubiri gori la mkono.
 
RadioOneStereo
Serikali imeonya kuwa itawachukulia hatua za kisheria watakaobaki katika vituo vya kupigia kura kwa madai ya kulinda kura kwa kuwa ni kinyume cha sheria.
*************************************
1-Tutashinda hata kwa bao la mkono
2-CCM haitong'oka kirahisi kama jino
3-Hatutofanya kosa kukabidhi Ikulu kwa wapinzani
?????????????!!!!!!!!!!!!!
 
Kukusahihisha sio kuishiwa hoja. Hata walimu shuleni husahihisha wanafunzi wao, unamaana hao nao wameishiwa hoja?
Hapa sio darasani na wewe huwezi kuwa mwalimu kwani huna hata uwezo wa kujenga hoja sembuse kukosoa! Msingi wa hoja ni upuuzi wa CCM wa kutaka kuchakachua matokeo ya uchaguzi, na wewe hukuwa na haja ya kukosowa makosa ya kiuchapaji badala ya kukosoa hoja mjaarabu!
 
Hapa sio darasani na wewe huwezi kuwa mwalimu kwani huna hata uwezo wa kujenga hoja sembuse kukosoa! Msingi wa hoja ni upuuzi wa CCM wa kutaka kuchakachua matokeo ya uchaguzi, na wewe hukuwa na haja ya kukosowa makosa ya kiuchapaji badala ya kukosoa hoja mjaarabu!
Acha kuendekeza ubishi wa kitoto wewe.
 
Back
Top Bottom