Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Mgombea udiwani kupitia SiSiEm amegoma kupeleka wapiga kura wake kwenye mkutano wa kufunga kampeni jijini Mwanza kwa kuhofia wapiga kura wake watatelekezwa na kushindwa kurudi kijijini kumpigia kura!Sina matatizo hata kidogo. Endeleeni kutengeneza "nyomi", hata ikibidi kutumia watoto wadogo.