Picha: Lowassa abuni mbinu mpya ya kampeni ya Urais

Picha: Lowassa abuni mbinu mpya ya kampeni ya Urais

kyalankota

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2,594
Reaction score
1,463
1420354193658.jpg
 
Jamaa anaponda huyo, no comment maana hakubaliana na hana la kusema, ni kama ngoja tuone itafanyikaje hiyo hata TZ
 
Pikipiki na vyote vinavyotumika kupigia kampeni mafisadi kama lowasa, chomeni moto kwa siri.

Tunahitaji kuweka mambo sawa, tusifanywe wajinga na hawa wezi wa mali zetu.
 
Hivi ni kwanini baadhi ya member wa Jf wanahofu kubwa na ndugu Lowassa? Ilihali mwenyewe hajasema chochote? Watanzania bana inabidi washushiwe Malaika, nadhani hata akishushwa malaika bado kuna watu watahoji ni kwanini ana mabawa mawili badala ya moja! Watanzania porojo sana halafu hamna kitu.
 
Acheni upuuzi;Lowassa hatengenezi hayo mabango na wala hauzi lakini kilicho dhahiri ni kuwa wananchi wanamhitaji

Aliyekuambia anatengeneza mwenyewe nani? Yeye anamwaga hela chafu kwa wapambe ndo wanatoa tenda kwa watengenezaji. Acha upuuzi dogo!
 
dawa ni kuchoma pikipiki zote zinazotumika kifisadi
 
Hivi ni kwanini baadhi ya member wa Jf wanahofu kubwa na ndugu Lowassa? Ilihali mwenyewe hajasema chochote? Watanzania bana inabidi washushiwe Malaika, nadhani hata akishushwa malaika bado kuna watu watahoji ni kwanini ana mabawa mawili badala ya moja! Watanzania porojo sana halafu hamna kitu.
Una uhakika hajasema chochote,unataka aseme mara ngapi?.Hiyo miela anayowamwagia watu kamanjugu unadhani ni ukarimu tu,kama kuna mtu anautamani upresidaa hapa nchini si mwingine bali huyo mtu,na akiukosa inaweza ikamsababishia madhala makubwa kisaikologia.
 
Una uhakika hajasema chochote,unataka aseme mara ngapi?.Hiyo miela anayowamwagia watu kamanjugu unadhani ni ukarimu tu,kama kuna mtu anautamani upresidaa hapa nchini si mwingine bali huyo mtu,na akiukosa inaweza ikamsababishia madhala makubwa kisaikologia.[/QUOT

Kuna uwezekano huyu mzee akiukosa urais anaweza akafa ghafla, maana anang'ang'ania kama kaweka kitu chake ikulu. kwa kwel ccm wasijaribu kufanya kosa hata tu lakumpenekeza.
 
Hivi ni kwanini baadhi ya member wa Jf wanahofu kubwa na ndugu Lowassa? Ilihali mwenyewe hajasema chochote? Watanzania bana inabidi washushiwe Malaika, nadhani hata akishushwa malaika bado kuna watu watahoji ni kwanini ana mabawa mawili badala ya moja! Watanzania porojo sana halafu hamna kitu.

Usihofu, kutokana na ile interface mpya ambayo JF waliiweka 1.1.2015 na kisha kuitoa, JF members hawazidi laki 5. Hii ni pamoja na wengi kuwa na id zaidi ya moja. Hivyo ondoa shaka! Watanzania wa kupiga kura ni kama milioni 20 hivi nafikiri.
 
Acheni upuuzi;Lowassa hatengenezi hayo mabango na wala hauzi lakini kilicho dhahiri ni kuwa wananchi wanamhitaji

Ebu tumia akili, hatengenezi ndo nini kwa picha uionayo hapo?. Boda boda si kawanunulia yeye, ulidhani kawapa bure? Bahati mbaya wanaenda kumchinjia baharini endapo ataruka kiunzi cha sisiemu na kuwa mgombea urais. Sisiemu wana chance na Magufuli, sio huyu fisadi anayehangaika sasa nchi nzima kununua watu, eti ghafla kaenda na Zenji, toka lini! Kubwa jinga.
 
Back
Top Bottom