Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

landibongo

Member
Joined
Mar 24, 2025
Posts
47
Reaction score
185
Aliyetoa uzi anasema ni kutoka kagera kanda ya ziwa anahoji inawezekana vipi mtu baye sio mchaga akapata uongozi uchagani .

Ameenda mbali anasema kaskazini inapwaya akatolea mfano arusha sakata la gambo na makonda kwamba zio wazawa lakini wanagombea kisa tu wameoa maeneo hayo .

Nyerere alipinga maswala ya ukabila na udini.

Wachaga kweli kuna majimbo wabunge wao sio wachaga mfan jimbo la siha lakini freshi tu hawajahoji

Mbona wachaga wenyewe hawana shida inakuaje wewe unaumia .

stop tribalism,stop kujiona bora
 

Attachments

  • Screenshot_20250701-223359.jpg
    Screenshot_20250701-223359.jpg
    336.6 KB · Views: 19
  • Screenshot_20250701-223020_1.jpg
    Screenshot_20250701-223020_1.jpg
    223.9 KB · Views: 23
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
jibu kwa facts sio unapost mavi matupu
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
Zanzibar waliliona hilo
Kama huishi jimboni sahau ubunge labda wa kuteuliwa
 
Aliyetoa uzi anasema ni kutoka kagera kanda ya ziwa anahoji inawezekana vipi mtu baye sio mchaga akapata uongozi uchagani .

Ameenda mbali anasema kaskazini inapwaya akatolea mfano arusha sakata la gambo na makonda kwamba zio wazawa lakini wanagombea kisa tu wameoa maeneo hayo .

Nyerere alipinga maswala ya ukabila na udini.

Wachaga kweli kuna majimbo wabunge wao sio wachaga mfan jimbo la siha lakini freshi tu hawajahoji

Mbona wachaga wenyewe hawana shida inakuaje wewe unaumia .

stop tribalism,stop kujiona bora
Hivi Mbara anaweza kuwa mbunge na kuwakilisha Zanzibar au Pemba?
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
Jamani mkisema hivyo Kwimba kuna Mbunge ni Muhindi na hana nyumba wala famiia yake jimboni hapa kiukweli inashangaza sana
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
Una elimu ndogo sana ila una ujasiri debe wa kujitutumua.
 
Ukabila haukwepeki.. We ni mchaga ni mchaga huwezi kuwa Msukuma tuachage usasa.. Mtu hajui ata kichaga hajui mitaa haishi kwenye iko eneo atajua watu wanakabiliwa na changamoto zipi?? Unamchagua mtu anaishi Dodoma jimbo lipo Moshi.. Mnabaki kumsingizia nyerere nyerere thus nyerere what.. Nyerere alishamaliza yake sisi tupambanie future yetu sio ya nyerere
Wakamuulize Davis Mosha pamoja na Uchagga na utajiri kisa tuu haishi Moshi watu wakala hela zake na Ubunge hakupata.
 
Aliyetoa uzi anasema ni kutoka kagera kanda ya ziwa anahoji inawezekana vipi mtu baye sio mchaga akapata uongozi uchagani .

Ameenda mbali anasema kaskazini inapwaya akatolea mfano arusha sakata la gambo na makonda kwamba zio wazawa lakini wanagombea kisa tu wameoa maeneo hayo .

Nyerere alipinga maswala ya ukabila na udini.

Wachaga kweli kuna majimbo wabunge wao sio wachaga mfan jimbo la siha lakini freshi tu hawajahoji

Mbona wachaga wenyewe hawana shida inakuaje wewe unaumia .

stop tribalism,stop kujiona bora
Si wanasemaga kuwa wachagga ni wakabila
 
Aliyetoa uzi anasema ni kutoka kagera kanda ya ziwa anahoji inawezekana vipi mtu baye sio mchaga akapata uongozi uchagani .

Ameenda mbali anasema kaskazini inapwaya akatolea mfano arusha sakata la gambo na makonda kwamba zio wazawa lakini wanagombea kisa tu wameoa maeneo hayo .

Nyerere alipinga maswala ya ukabila na udini.

Wachaga kweli kuna majimbo wabunge wao sio wachaga mfan jimbo la siha lakini freshi tu hawajahoji

Mbona wachaga wenyewe hawana shida inakuaje wewe unaumia .

stop tribalism,stop kujiona bora
Msamehe tu. Kuandika kwenyewe hajui. Unafikiri yupo sawa?
 
Usijali mkuu, hao manyumbu wameshindwa watakuja na Kila aina ya hila lakini zote zitashindwa.
 
Watu wengi hawajui,kinachowaumiza wahaya na kufanya mkoa wa Kagera usiendelee ni ukabila.Umaskini wa ule mkoa ni wa kujitakia.Mhaya yuko tayari kuzuia maendeleo kama yanaletwa na kabila lingine.Hali ya umaskini Kagera inatisha haswa vijijini hali ni tete
 
Aliyetoa uzi anasema ni kutoka kagera kanda ya ziwa anahoji inawezekana vipi mtu baye sio mchaga akapata uongozi uchagani .

Ameenda mbali anasema kaskazini inapwaya akatolea mfano arusha sakata la gambo na makonda kwamba zio wazawa lakini wanagombea kisa tu wameoa maeneo hayo .

Nyerere alipinga maswala ya ukabila na udini.

Wachaga kweli kuna majimbo wabunge wao sio wachaga mfan jimbo la siha lakini freshi tu hawajahoji

Mbona wachaga wenyewe hawana shida inakuaje wewe unaumia .

stop tribalism,stop kujiona bora
Upo swahihi.Nenda kagombee uwakilishi Zanzibar ili huu uzi wako niuelewe.
NB:Urudi na kitambulisho cha mzanzibari mkazi ili tuujue ukweli wako.
 
Back
Top Bottom