faster ugali nyamaAlmond almond almond kiswahili ni mbegu Gani hizi wabongo bana. Ndio maana nikienda hotel sihitaji menu...naagiza tu ugali nyama..
Wewe Sema hivyo viharage Kwa kiswahili vinaitwaje na vinapatikana wapi
Nipe namba yakeNi kweli elfu tano,au ndo kaaamua kunipiga .
Alafu
Alafu nikamuuuliza robo anauzaje kasema 15k .
Nimeshituka kweli .View attachment 2530813
Hata hizi unauliza! Karanga miti(almondi) bei yake kali kuliko.Najua Jamiiforums ina watu wengi kutoka mikoa mbalimbali na taasisi zake ,nimeletewa hii zawadi kutoka kwa rafiki yangu akisema ni zawadi kwa watoto wangu.
Nimezionja naona zipo kama karanga vile sijui ninini yeye amenitajia jina la kilugha chao ila kibongo sijui jina na ni aina gani ya mmea .
Shukran
USSR View attachment 2529865
Umepigwa parefu mnooNi kweli elfu tano,au ndo kaaamua kunipiga .
Alafu
Alafu nikamuuuliza robo anauzaje kasema 15k .
Nimeshituka kweli .View attachment 2530813
Ingekua hivyo ulaya na Asia wote wangekua akina isac NewtownAlmonds huwa ninazila sana wakati wa ujauzito.Wanangu wote ni ma genius.
Sasa huoni ndo kila siku mnakimbizana kwenda kwao?Hadi nguo wanawatengenezea wao.Huoni kila siku wanawapa misaada ili wawale vizuri bila kelele.Ingekua hivyo ulaya na Asia wote wangekua akina isac Newtown
Kwamba ulaya na Asia wote ma-genius!!Sasa huoni ndo kila siku mnakimbizana kwenda kwao?Hadi nguo wanawatengenezea wao.Huoni kila siku wanawapa misaada ili wawale vizuri bila kelele.