Mnyunguli
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,570
- 3,906
Niliyakuta kwa jamaa yangu alitoka nayo India ni vitamu ila ukivila sana lazima ukaharishe muharisho mmoja matata sana maana kama zina vumbi flan hvi.Uliyapata wapi??
Niliyakuta kwa jamaa yangu alitoka nayo India ni vitamu ila ukivila sana lazima ukaharishe muharisho mmoja matata sana maana kama zina vumbi flan hvi.Uliyapata wapi??
Kwenye ladha umetudangnya tamu sana sema ndio me sikujua first time niliyapiga mengi nikaharisha from there nikawa nayapiga kizungu kama karanga za miambili.Almond kimbia sana na hizo kitu, hazina ladha wala harufu wala taste.
Allergy zote zipo umo
Sasa inakiaje MTU akumbuke kuwa anasahau huku akili haikumbuki?Almond hizo mkuu, zinasaidia kuridisha kumbukumbu.
Hiyo ndio bei ya Kariakoo kule Zanaki na Kitumbini ni 32,000Inawezekana mkuu,
Kariakoo pale kwa Issa au kwa wale Wapemba wa mambo ya Keki na maduka mengineZinapatikana wapi
Ova
Dah 😂😂😂Sasa inakiaje MTU akumbuke kuwa anasahau huku akili haikumbuki?
Kwa upekuzi wangu nilinunua viwili mia2 ili nivijue ni vinini na vina ladha gani! Unatakiwa kuzila kama kurefresh tu ila ndio umechukua uzile kwa ku enjoy kama karanga au korosho utakua umeyakanyaga! Hiyo yake kahawa, kasusu au chai kama push factorAlmond kimbia sana na hizo kitu, hazina ladha wala harufu wala taste.
Allergy zote zipo umo
Kwa wanaishi Dar, zinapatikana pale soko la Kisutu.Ok ila mimi nimetumiwa kilo moja kama zawadi kwa wanagu
USSR
kilo moja ni 40k.Bei zake ndefu ndio, kilo inaweza fika 15k mpaka 25k inategemea na eneo
Juzi nilikula hiziNajua Jamiiforums ina watu wengi kutoka mikoa mbalimbali na taasisi zake ,nimeletewa hii zawadi kutoka kwa rafiki yangu akisema ni zawadi kwa watoto wangu.
Nimezionja naona zipo kama karanga vile sijui ninini yeye amenitajia jina la kilugha chao ila kibongo sijui jina na ni aina gani ya mmea .
Shukran
USSR View attachment 2529865
Shkran mjukuu wa mzee mgayaKariakoo pale kwa Issa au kwa wale Wapemba wa mambo ya Keki na maduka mengine
Zinapatikana wapi?Almonds huwa ninazila sana wakati wa ujauzito.Wanangu wote ni ma genius.
Shoppers/ supermarketZinapatikana wapi?