YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Mleta mada kila mgombea Uraisi hupewa ulinzi na serikali akishapitishwa na tume ya uchaguzi kwa usalama wake labda akatae mwenyewe Mlinzi anakaa wapi nyuma au kwenye kundi anavaa nguo gani hayo ya kwake.Kazi ni kulinda mgombeaAmeendana na Mazingira...