nyachina
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 290
- 268
Upo sahihi, kila mgombea urais pasipo kujali chama chake hupewa ulinzi kutoka idara ya usalama wa taifa. Jambo huwa ni hiari ya mgombea kama anahitaji au la, hawalazimishwiWala hakuwa Uvccm Bali mtu yoyote akiteuliwa kugombea Urais kwa mjibu wa taratibu za nchi hii hasa akitokea chama tawala huhesabika kama ameshashinda kwahyo hupewa ulinzi na Kitengo cha usalama wa Taifa nakwakipindi cha kampeni walinzi hao huvaa nguo za chama
Muwe munafatilia mambo sio munakurupuka tu kama mwanamke ghafla.