Mwaka huu macho madogo kashikwa kubaya na kipanya, sema ndo hivyo macho madogo wanakula na mama kwa hiyo sio shida zao...!!ππ
Eti mama kuku πMama kuku analea vifaranga wa wengine halafu kifaranga wake kamwacha huko mbali hana time nae.
Anamaanisha nini?