Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Jakaya Kikwete always yuko happy tu. Watu ambao humshika mkono huyu jamaa lazima wabaki na baraka fulani aisee. Kila ambaye hubahatika kuonana na JK lazima moyo wake uzuuzike aisee.
Haka katoto kameshaondoka na neema ya JK.