Amechoka kwa sababu ya kuitendea haki Zanzibar. Amefanya makubwa sana.Jamaa ni muislam safi isitoshe alienda kuhiji usikute urais anataka kuacha sema kitengo ndo wanamlazisha lazima achoke, hijja na batili haviendani.
Huyo huna lolote!ilikuwa nafasi ya maalim seif hyo!! ona jinsi dhambi aliyoitenda inavomtafuna!!
Mpeni lishe huyo aliyejitundika suti ya kijivuHuyo huna lolote!
Kama umechukia kula wembe walahi
Masikini raisi wa zenji mbona amechoka hivyo
ilikuwa nafasi ya maalim seif hyo!! ona jinsi dhambi aliyoitenda inavomtafuna!!