Hapana ila pia hakinifanyi nikipinge kwa uhakika kwamba ni uzushi...Je mtu kuzushiwa kitu kunakufanya moja kwa moja uamini kwamba kitu hicho ni cha kweli ?
Bado unajichanganya. Je kuwahi kumuona mtu kunakupa assurance ya kumfahamu huyo mtu in n out ?Hapana ila pia hakinifanyi nikipinge kwa uhakika kwamba ni uzushi...
Mimi on personal level sijaaminishwa na hii post, nacho shindwa kuelewa ni kwanni mtu awe 100% sure ni uzushi alafu most probably mtu mwenyewe hajawahi hata kumuona jux
Du we mjamaa unatunishiana misuli na female dogand your comment has confirmed all that I have written. I rest my case
By the way you have confirmed what you are 'a bitch (female dog)' as per your words. Well what is the worst that you could do other than do what bitches do - barking insults behind your keyboard under the protection of your pseudo name. You my dearest woman are a lonely, sadist person that lives in hope that others are suffering more than you are and by suffering it might not be financially; a mere fact that you live each day in hopes of getting a juicier hurting gossip of somebody who has no impact on your life whatsoever, my dear that is mental anguish. PERIOD.
Bado unajichanganya. Je kuwahi kumuona mtu kunakupa assurance ya kumfahamu huyo mtu in n out ?
Kiingereza sijui mkuu.Your reply to what I ve written is a logical fallacy...its the strawman fallacy, you are bating me to answer something that I have not assessed, so I will not answer.
Soma vizuri nilichoandika...
Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Kwani Lina nini Hilo jina?Ukishaita mwanao jina la Juma jiandae kwa lolote manake hutajua siku wala saa
Siwezi kujibu kitu ambacho sijakisema mimi, mi nimesema nashangaa mtu hajawahi hata kumuona huyo msanii ila ana imani naye 100%..Kiingereza sijui mkuu.
Tafadhali re-write kwa kiswahili
Asante sana mkuu. Hapo nimekusomaSiwezi kujibu kitu ambacho sijakisema mimi, mi nimesema nashangaa mtu hajawahi hata kumuona huyo msanii ila ana imani naye 100%..
Wewe unakuja kuniuliza kwamba kuwahi kumuona mtu kunakupa assurance ya kumfahamu mtu in and out..
Sasa hilo swaili yanahusianaje na nilichosema mimi,
Ningesema mi nimewahi kumuona, ndo maana am sure it's true... Ilo swali lako lingefit?
Au ungeuliza kwani kumuona mtu ndo njia pekee ya kumfahamu mtu.? Hili swali pia lingefit na nilichosema mimi
Au ungeuliza unajuaje hatujawah kumuona/hatumjui?
Sio ndugu yangu...we unauhakika gani hizi habari ni za kweliWe Jux ni ndugu yako kwani, kwamba unamjua kiundani sana paka una uhakika hizi habari ni kuchafua brand na si za mweli
Sasa hata nikikwambia tuna undugu, au tumesoma wote utaamini na utajuaje nimesema ukweli..Sio ndugu yangu...we unauhakika gani hizi habari ni za kweli
Acha speculation mkuuSasa hata nikikwambia tuna undugu, au tumesoma wote utaamini na utajuaje nimesema ukweli..
Acha speculation mkuu
Wewe wasemaHaya Mr all knowing wewe ndo unajua zaidi ya wote,
Mwandishi taarifa zako hazieleweki, unapoteza muda kuandika jambo ambalo huliweki straight forward, kwenye uandishi nakupa 1/100....
Point ya msingi uliyopaswa kuigusia ni basha ama shoga....
True story, wengi ni tamaa tu zina wa sumbua.. Crew ya kina jux, yung d, cyrill wote ndio michezo yao
V Na alvo flat cjui anashika wapi
Ndo ile mifupa mikavu
Kwa hiyo wewe hapo mtaani kwenu mtu akikutuhumu unakula nyama za watu. Akaanza kukutangaza mitandaoni. Unataka tuamini wewe ni cannibal kwa sababu ya uvumi unaoenezwa na mpuuzi fulani?
➡➡➡➡nakaziaUkishaita mwanao jina la Juma jiandae kwa lolote manake hutajua siku wala saa