THAN0S
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 739
- 697
Hapana ila pia hakinifanyi nikipinge kwa uhakika kwamba ni uzushi...Je mtu kuzushiwa kitu kunakufanya moja kwa moja uamini kwamba kitu hicho ni cha kweli ?
Mimi on personal level sijaaminishwa na hii post, nacho shindwa kuelewa ni kwanni mtu awe 100% sure ni uzushi alafu most probably mtu mwenyewe hajawahi hata kumuona jux