SamuraiJack
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 220
- 235
Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.
Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.
Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.
Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.
Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze
View attachment 1093994View attachment 1093995
They say, "you aint real man until you get some haters."Wanawake vipofu kweli, sasa Jux ana uhandsome gani au kule kuvaa hereni na kunyoa nyusi kwake kunakuchengua? Mwanamme shoga anajulikana tu, Dar vijana na wanaume wa namna ya Jux wako wengi sana na wengi wako underground ila muwasho ukiwazidi wanakuja hadharani (Facebook na Instagram) kutafuta kikii.
They say, "you aint real man until you get some haters."
V Na alvo flat cjui anashika wapiSo you are telling me that I am a Jux hater? The kid is pathetic in everything except ushoga, kuimba hajuwi hata kuvaa nguo anizidi. I have no time for his lame ass, mwache ashikishwe ukuta tu, ipo siku V ataisoma namba akiombwa kuinamishwa na yeye wakati hana wowowo.
Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.
Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.
Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.
Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.
Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze
View attachment 1093994View attachment 1093995
Kwa hiyo wewe hapo mtaani kwenu mtu akikutuhumu unakula nyama za watu. Akaanza kukutangaza mitandaoni. Unataka tuamini wewe ni cannibal kwa sababu ya uvumi unaoenezwa na mpuuzi fulani?Sasa unashangaa nini, Jux anahusishwa sana na ushoga hapa mjini.
Vua tuoneWe unikome, Nina papa au nikuvulie uone, Kuwa na adabu na mama zako wa kambo, mxieew
Hata mwenyewe nimefanya hivyo aiseeNimekazana kuua hako ka mdudu kumbe ni avator
Hana ubavu huo. Anataka sifa tuVua tuone
We Jux ni ndugu yako kwani, kwamba unamjua kiundani sana paka una uhakika hizi habari ni kuchafua brand na si za mweliMkuu hivi unapata faida gani kuchafua brand za watu...fikiria ingekuwa wewe or ndugu yako anachafuliwa hivi ungejiskiaje
Kwani humu JamiiForums kuna ajenda gani juu ya ushoga naona kila mtu maarufu anapakaziwa kuwa shoga.
and your comment has confirmed all that I have written. I rest my case
By the way you have confirmed what you are 'a bitch (female dog)' as per your words. Well what is the worst that you could do other than do what bitches do - barking insults behind your keyboard under the protection of your pseudo name. You my dearest woman are a lonely, sadist person that lives in hope that others are suffering more than you are and by suffering it might not be financially; a mere fact that you live each day in hopes of getting a juicier hurting gossip of somebody who has no impact on your life whatsoever, my dear that is mental anguish. PERIOD.
faida na hasara za umasikini, utajadili kila kitu kilicho mbele yako, hata vile ambavyo havikuhusu.We Jux ni ndugu yako kwani, kwamba unamjua kiundani sana paka una uhakika hizi habari ni kuchafua brand na si za mweli
Wanawake vipofu kweli, sasa Jux ana uhandsome gani au kule kuvaa hereni na kunyoa nyusi kwake kunakuchengua? Mwanamme shoga anajulikana tu, Dar vijana na wanaume wa namna ya Jux wako wengi sana na wengi wako underground ila muwasho ukiwazidi wanakuja hadharani (Facebook na Instagram) kutafuta kikii.
Kwa hiyo wewe hapo mtaani kwenu mtu akikutuhumu unakula nyama za watu. Akaanza kukutangaza mitandaoni. Unataka tuamini wewe ni cannibal kwa sababu ya uvumi unaoenezwa na mpuuzi fulani?
Kama we ni maskini pole, ila information is power, and all information is valuable even how little or useless you think it isfaida na hasara za umasikini, utajadili kila kitu kilicho mbele yako, hata vile ambavyo havikuhusu.
my take : Tupambane tuukimbie umasikini.
Je mtu kuzushiwa kitu kunakufanya moja kwa moja uamini kwamba kitu hicho ni cha kweli ?Mi nashindwa kuelewa hii ya mtu anazushiwa, kwanini asizushiwe juma nature au ray vanny... Kwanini waseme jux.... Think about it