Picha: Jux akwaa Scandal ya Ushoga

Sijaona tatizo kwa mwanaume kum video call mwanaume mwenzake, I have friends ambao nimecheza nao, nimekuwa nao, nimesoma nao na mpaka sasa we are friends kiasi cha kuonana kama familia siwezi kuwa na "negativity of thoughts" yoyote if I video call them.

Tuache mihemuko.
 
Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.

Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.

Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.

Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.


Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze

View attachment 1093994View attachment 1093995


Wanawake vipofu kweli, sasa Jux ana uhandsome gani au kule kuvaa hereni na kunyoa nyusi kwake kunakuchengua? Mwanamme shoga anajulikana tu, Dar vijana na wanaume wa namna ya Jux wako wengi sana na wengi wako underground ila muwasho ukiwazidi wanakuja hadharani (Facebook na Instagram) kutafuta kikii.
 
Wanawake vipofu kweli, sasa Jux ana uhandsome gani au kule kuvaa hereni na kunyoa nyusi kwake kunakuchengua? Mwanamme shoga anajulikana tu, Dar vijana na wanaume wa namna ya Jux wako wengi sana na wengi wako underground ila muwasho ukiwazidi wanakuja hadharani (Facebook na Instagram) kutafuta kikii.
They say, "you aint real man until you get some haters."
 
They say, "you aint real man until you get some haters."

So you are telling me that I am a Jux hater? The kid is pathetic in everything except ushoga, kuimba hajuwi hata kuvaa nguo anizidi. I have no time for his lame ass, mwache ashikishwe ukuta tu, ipo siku V ataisoma namba akiombwa kuinamishwa na yeye wakati hana wowowo.
 
So you are telling me that I am a Jux hater? The kid is pathetic in everything except ushoga, kuimba hajuwi hata kuvaa nguo anizidi. I have no time for his lame ass, mwache ashikishwe ukuta tu, ipo siku V ataisoma namba akiombwa kuinamishwa na yeye wakati hana wowowo.
V Na alvo flat cjui anashika wapi
Ndo ile mifupa mikavu
 
Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.

Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.

Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.

Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.


Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze

View attachment 1093994View attachment 1093995


Sasa unashangaa nini, Jux anahusishwa sana na ushoga hapa mjini.
 
Mkuu hivi unapata faida gani kuchafua brand za watu...fikiria ingekuwa wewe or ndugu yako anachafuliwa hivi ungejiskiaje
We Jux ni ndugu yako kwani, kwamba unamjua kiundani sana paka una uhakika hizi habari ni kuchafua brand na si za mweli
 
Bro we nenda kahubiri kanisani...if you ain't intrested kuwa muungwana pita kushoto
and your comment has confirmed all that I have written. I rest my case

By the way you have confirmed what you are 'a bitch (female dog)' as per your words. Well what is the worst that you could do other than do what bitches do - barking insults behind your keyboard under the protection of your pseudo name. You my dearest woman are a lonely, sadist person that lives in hope that others are suffering more than you are and by suffering it might not be financially; a mere fact that you live each day in hopes of getting a juicier hurting gossip of somebody who has no impact on your life whatsoever, my dear that is mental anguish. PERIOD.
 
We Jux ni ndugu yako kwani, kwamba unamjua kiundani sana paka una uhakika hizi habari ni kuchafua brand na si za mweli
faida na hasara za umasikini, utajadili kila kitu kilicho mbele yako, hata vile ambavyo havikuhusu.

my take : Tupambane tuukimbie umasikini.
 
  • Thanks
Reactions: xox
True story, wengi ni tamaa tu zina wa sumbua.. Crew ya kina jux, yung d, cyrill wote ndio michezo yao
Wanawake vipofu kweli, sasa Jux ana uhandsome gani au kule kuvaa hereni na kunyoa nyusi kwake kunakuchengua? Mwanamme shoga anajulikana tu, Dar vijana na wanaume wa namna ya Jux wako wengi sana na wengi wako underground ila muwasho ukiwazidi wanakuja hadharani (Facebook na Instagram) kutafuta kikii.
 
Mi nashindwa kuelewa hii ya mtu anazushiwa, kwanini asizushiwe juma nature au ray vanny... Kwanini waseme jux.... Think about it
Kwa hiyo wewe hapo mtaani kwenu mtu akikutuhumu unakula nyama za watu. Akaanza kukutangaza mitandaoni. Unataka tuamini wewe ni cannibal kwa sababu ya uvumi unaoenezwa na mpuuzi fulani?
 
faida na hasara za umasikini, utajadili kila kitu kilicho mbele yako, hata vile ambavyo havikuhusu.

my take : Tupambane tuukimbie umasikini.
Kama we ni maskini pole, ila information is power, and all information is valuable even how little or useless you think it is
 
Mi nashindwa kuelewa hii ya mtu anazushiwa, kwanini asizushiwe juma nature au ray vanny... Kwanini waseme jux.... Think about it
Je mtu kuzushiwa kitu kunakufanya moja kwa moja uamini kwamba kitu hicho ni cha kweli ?
 
Mwandishi taarifa zako hazieleweki, unapoteza muda kuandika jambo ambalo huliweki straight forward, kwenye uandishi nakupa 1/100....

Point ya msingi uliyopaswa kuigusia ni basha ama shoga....
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom