figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,654
- 59,078
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika pamoja na Mwanasheria Mkuu wa chama, Rugemeleza Nshala wakiwa kwenye picha pamoja na mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa United Nations, Parfait Onanga-Anyanga, baada ya kufanya mazungumzo katika ofisi za Umoja wa Mataifa zilizopo Dar es Salaam tarehe 10 Machi 2026.
Mazungumzo yao yalijikita kujadili hali ya siasa nchini kufuatia matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025 pamoja na umuhimu wa uchunguzi huru na mabadiliko ya kikatiba ili kuhakikisha uwepo wa chaguzi huru na haki nchini.