PICHA inaongea mengi

Mwenye suti light blue anacheka cheka sanA

mWanamke hata awe nani zile tabia za kike haziishi,huyu Chura kawa karibu na bulldozer ili kuwatisha kina Gwajima na katoriki wakina Kitima
 
Raisi samia
Binti wa KIISLAM Ametinga mazabahauni???
Ataghafir
Huu nao ni ujinga, ni mara ya kwanza viongozi wa kiislamu kuingia kanisani kwenyw ibada maalum?

Kwenye maziko ya Msuma huyo Mama hakuhudhuria ibada ya mazishi kanisani Mwanga? Vipi ibada ya mazishi ya Lowasa Luthe house hakuwepo?

Tuache ujinga ujinga, halafu hapo kwa Mwamposa hiyo ni Ministry huduma na siyo Church Kanisa.

Huduma ni kwa ajili ya watu wa dini zote wanafuata uponyonyaji, nenda leo kwa Mwamposa utawakuta waislamu kibao mpaka kutoka Comoro wanafuata uponyaji.
 
Ivi lile kanisa la Tb joshua bado linafanya kazi na huduma zinatolewa kma alivokua hai?
Nimeuliza tu
 
Hili ni tukio tofauti, ni ibada ya kuweka wakfu kanisa (kuzindua jengo la kanisa) nikumbushe Rais gani (asiye mshirika) aliwahi kufungua na kuweka wakfu kanisa!?
 
Ivi lile kanisa la Tb joshua bado linafanya kazi na huduma zinatolewa kma alivokua hai?
Nimeuliza tu
Hili atajibu yule mtunza kibuyu wetu mnywa mchuzi wa bendera
 
Kama ulimsikia Mwamposa wakati anatoa shukrani kwa walio husika na shughuli hiyo.
Alimtaja Katibu wa Rais, jee ni nani huyo? Atakuwa ni yule ametajwa sana na Maria Sarungi bw.Waziri Salum aka Mr Mapete.
Kwa hiyo kuna chain hapo! Tafakari
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…