Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
kwa hiyo catholic ndio inaruhusu watu kufanyiana hivyo?
very shame kuwasingizia wacatholic hii kitu.
Usihamaki mkuu...mchokonoa hoja alitaka kujuzwa kama huko Mexico watu hawajafunga Ramzan na akajibiwa hivyo...je ni vibaya?
Originally Posted by mkwegi
Hivi huko Mexico hakuna cha mwezi mtukufu wala nini??!!
Mungu apitishe mbali hilo balaa