armanisankara
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 283
- 49
Sasa hii picha si ilikuwepo toka jana? Watu wengine bwana.
Sasa hii picha si ilikuwepo toka jana? Watu wengine bwana.
RIP mwandishi ila chadema acheni hzi jaman hamuon watu wasio na hatia wanakufa?km serikali haitaki ya nn kubishana nayo km vp c zitafutwe njia nyingine kwan lazma maandamano?
hii picha jana sijaiona ndo maana nimeipost leo.Watu wengine bwana wanachukua picha iliyokwisha postiwa na wenzake tangu jana nae anatumia kuanzishia thread kama huna cha kupost soma tu za wenzio.
radhia sweety unataka kuniambie wewe kila siku unaingia humu JF? mimi hii picha sikuiona jana ndo maana nimeiweka leo.Sasa hii picha si ilikuwepo toka jana? Watu wengine bwana.