Unapimaje reasoning ability!?Ndo yeye, ukiwa na njaa reasoning ability unakua huna kabisa
Alafu wanakuwaga na mikwara sana. Nakumbuka kuna kikao kimoja alipiga mkwara kweli hapa Mbeya. Mzee wa kujitumia sms kwenye uzi wa Rikiboy unaendeleaje lakini?Mmenishinda tabiaa watanzania khaaaa..
Mmefekenyua weé mpaka mmempata Chief wetu alokataa maandamano😅😅
Ndo mwenyew 😅😅😅😅
Kwahyo wanatuchezea Chele tu wanajuanaNdo mwenyew 😅😅😅😅
Tulia hovyo sana! Ndio wanajiita wasomi! Bure kabisa.Kwahyo wanatuchezea Chele tu wanajuana