hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Great Thinkers habari.
Jamani naomba maujuzi namna ya kuziokoa kisha kuzitumia picha hizi ambazo zipo kwenye digital camera.Tatizo nikuwa picha hizi zinaonekana ukiziview kwenye kamera lakini nikitoa memory kadi na kuweka kwenye PC yangu picha hazifunguki badala yake yanakuja mafaili short cut.Msaada please watalaamu
Jamani naomba maujuzi namna ya kuziokoa kisha kuzitumia picha hizi ambazo zipo kwenye digital camera.Tatizo nikuwa picha hizi zinaonekana ukiziview kwenye kamera lakini nikitoa memory kadi na kuweka kwenye PC yangu picha hazifunguki badala yake yanakuja mafaili short cut.Msaada please watalaamu