Picha: Hivi ndivyo sisimizi wanavyotuona

Picha: Hivi ndivyo sisimizi wanavyotuona

chai ya rangi

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2026
Posts
346
Reaction score
1,045
Screenshot_20260313-225234_1.jpg

@lomomy nadhani umewai kujiuliza sisimizi wanatuona kama majitu makubwa, huu ndo muonekano wako katika mtazamo wa sisimizi
 
View attachment 3557663
@lomomy nadhani umewai kujiuliza sisimizi wanatuona kama majitu makubwa, huu ndo muonekano wako katika mtazamo wa sisimizi
Umenikumbusha kuna animation moja inaonesha jinsi wadudu watambaao na warukao wanavyotuona mijitu mikubwa halafu tupo slow kwenye kila kitu, kwao tunatembea kama robots
 
Umenikumbusha kuna animation moja inaonesha jinsi wadudu watambaao na warukao wanavyotuona mijitu mikubwa halafu tupo slow kwenye kila kitu, kwao tunatembea kama robots
nzi akikuangalia anakuona upo skow kama kobe, hata ukitaka kumpiga anakuona unampiga kwa slow motion 😂 ndo maana anakimbia kiurahisi
 
Kule kenya kuna mchina kadakwa kwa kusafirisha siafu kwao, hao ni siafu. Kumbe hata sisimizi ni dili, hawa wadudu wanaweza kutumika kubuni mashine/roboti
 
Back
Top Bottom