ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,744
tehe umejuaje?Wa hivi wakiwa nje wana midomo sana.
tehe umejuaje?Wa hivi wakiwa nje wana midomo sana.
Dogo atakuwa mlevi wa gongo siyo kwa kutokwa jasho hivyo kichwani.
HahahahaAkili inachemka vizuri.
Tehetehe wa
Tehetehe warabu wa pemba hujuana kwa viremba
Da huyo keshafail labda Kama yako ya kuchagua atumie uzoefu wa kubet anaweza chana mikeka.
Dortmund alichonifanya Jana sitasahau, kanichania mkeka wa team 15, nimewin 14, moja kasuruhu na Rennes nlhc kufa kwakweliunapepa halafu umemuwekea dortmund wewe unategemea io pepa utatoka?