Picha hii inaongea maneno mengi mno!

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,671
218,175
_joy__joy__joy_ ( 426 X 640 ).jpg

Inasemekana Bashiru alitumia muda mwingi kumbembeleza mzee Makamba lakini imeshindikana.
 
View attachment 1353928

Inasemekana Bashiru alitumia muda mwingi kumbembeleza mzee Makamba lakini imeshindikana .


Nimemmiss huyu babu akiwa mkuu wa mkoa wa Dar, waislamu wenzake walikiwa wanachukia akizungumza kwa kunukuu vifungu vya biblia na si Kuraani kama dining yake.

Alikuwa akikasirika anagomba hadi najikuta nacheka mbele yake, ilikuwa poa sana kufanya nae kazi, by the way wasambaa ni watani zangu aka wagosi wa kaya.
 
View attachment 1353928

Inasemekana Bashiru alitumia muda mwingi kumbembeleza mzee Makamba , Je alifanikiwa ?
Alimbembeleza nini?

1. Kuchukua.garini
2. Akubali kuhojiwa.
3. Ama kama wavyodai wapi ramli kwamba,badili maamuzi ya kujitoa kwenye CHAMA na asirudishe Kadi?
Hata hivyo, Mzee Makamba ni wa Busara na Hekima sana.Atakuj pa kumalizia fundo la kizubau chake. Nimekumbuka wakati fulani katika moja ya hatua.zake Akasema haya nami ninarudi;
1. Uterezi Hunan.JANGA, hata kungwi na hutereza.
2. Lakini mtu mzima akiteleza na kuanguka hatolia bali atabaki kuguna tu.
3. Kama mtu mzima Msuli ukikudondoka,hutoinama na kuokoa bali utachuchumaa ama kukaa chini kujikusanya kusanya.

Mzee,wakati ni huu sasa utuonyeshe kivitendo jinsi ya kuishi ndani ya MANENO YAKO YA BUSARA NA HEKIMA.
"Duniani tunapita tu kwa mwendo kasi"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alimbembeleza nini?
1.Kuchukua.garini
2.Akubali kuhojiwa.
3.Ama kama wavyodai wapi ramli kwamba,badili maamuzi ya kujitoa kwenye CHAMA na asirudishe Kadi?
Hata hivyo,Mzee Makamba ni wa Busara na Hekima sana.Atakuj pa kumalizia fundo la kizubau chake. Nimekumbuka wakati fulani katika moja ya hatua.zake Akasema haya nami ninarudi;
1.Uterezi Hunan.JANGA, hata kungwi na hutereza.
2.Lakini mtu mzima akiteleza na kuanguka hatolia bali atabaki kuguna tu.
3.Kama mtu mzima Msuli ukikudondoka,hutoinama na kuokoa bali utachuchumaa ama kukaa chini kujikusanya kusanya.
Mzee,wakati ni huu sasa utuonyeshe kivitendo jinsi ya kuishi ndani ya MANENO YAKO YA BUSARA NA HEKIMA.
"Duniani tunapita tu kwa mwendo kasi"

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwandiko wako wa kupanga namba na mtirirko wa maelezo haueleweki kirahisi. Kiswahili gani sijui unatumia.
 
View attachment 1353928

Inasemekana Bashiru alitumia muda mwingi kumbembeleza mzee Makamba lakini imeshindikana .
Pale jalalani inaonekana pana njaa kali sana. Mara hii Dr. Bashir ana kitambi na shavu dodo.

Sasa nimeamini mjamaa wa kweli duniani alikuwa Castrol peke yake na alikufa na ujamaa wake. Wengine wote wanasumbuliwa na utapia mlo mkali na ili kujiokoa wanajibanza kwenye kichaka cha ujamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom