Uzi uishie hapa tu hakuna namnaHiyo imetrmengenezwa makusudically kama Photoshoot tu Bro uspagawe na maigizo.
naona RPG launcher hiyo qmmmq kiboko ya wavaa pampasHii picha huwa naitazama sana, hii picha inaongea maneno mengi sana, hii picha ina maana nyingi sana, hii picha inasema mengi sana daaaahView attachment 2871258
The founder of Hamas, Sheikh Ahmed Ismail Hassan Yassin, said:
"We don't hate Jews and fight them because they are Jews.
Jews are people of a religion, and we are people of a religion.
We love all people of different religions.
My brother even if he is my brother and he is a Muslim,
If he steals my house and kicks me out, I will resist him."
tinyurl.com/Gaza-needs-us
Anasoma mwongozo wa jinsi ya kutumia kombola kutoka kwenye kitabu Cha dini 😂😂
Baada ya hapo analiwa shaba akawahi mabikira....
Inaongea nini mbona sioni?Hii picha huwa naitazama sana, hii picha inaongea maneno mengi sana, hii picha ina maana nyingi sana, hii picha inasema mengi sana daaaahView attachment 2871258
Hii vita wapelistina wanatengeneza sana pichaHiyo imetengenezwa makusudically kama Photoshoot tu Bro uspagawe na maigizo.
Bado hawajasemaHii vita wapelistina wanatengeneza sana picha
Bi Uharo bikra yako ulitolewa mwaka gani?Baada ya hapo analiwa shaba akawahi mabikira....
Bi Uharo bikra yako ulitolewa mwaka gani?
Miss uharo bana vipi leo hamna habari za Gaza?😂Uharo mamako 😆 😆 😆
Kwa msako unaoendelea kule Sina uhakika kama huyu mtu Yu hai tena inawezekana hii picha ilipigwa kitambo kabla IDF hawajaingia Gaza, chunguza vizur wapiganaji wa Hamas ambao wanarusha video zao wakiwa ambush IDF utagundua kwamba wengi ni wale wananchi waliopewa mafunzo ya haraka wale wakongwe wenyewe ambao wako well trained wameshiba mazoez kama huyo jamaa hapo juu wameshaliwa vichwa maana ndio walikuwa Frontline.Baada ya hapo analiwa shaba akawahi mabikira....