Inanikumbusha utawala wa huyu mzee, alikuwa anakandamiza sana watu.
Haya sasa hamkandamizwi mnafanya kitu gani zaidi ya kulalamika. Afadhali kukandamizwa kwenye kuleta tija kuliko kuwa huru na kukuukumbatia ufisadi na uholela. Uhuru usio na tija ni afadhali ukoloni.