Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,332
- 14,255
Unataka nikutafunie??Wewe umefikiria nini??
Km unamfuatilia Mzee wetu muda huu,nafananisha hotuba yake na picha hiyo.Wagombea wa CCM wanaroho ngumu sana. Vinginevyo wasingemsogelea mtu aliyepo ndani ya nyumba hii kumweleza mambo ya ndege, stigila au flayover