Spider
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,641
- 556
kwa nini unasema yupo nje ya mada?ni kweli,picha ya muda mrefu sana.ilipgwa 1993,na mpga picha alipata tuzo kwa hyo picha.na alijiua kutokana na msongo wa mawazo,kwa kuwa alilaumiwa sana kwa kutomsaidia huyo mtoto pichani.Naona mwezetu uko mbali sana njeee kabisa ya mada pole sana mkuu