Mazingira ya Njombe haya. Nashangaa kama na Kinana kweli kakubaliana na aina hii ya mapokezi huku akijua kabisa utawala wa chama kimoja ulishapita!View attachment 95556
Hivi inawezekana kwa vyama vingine kuyafanya haya?
enzi ya chama kimoja hii,now sidhani kama wanaweza kufanya hivyo mashuleni,labda vijijini kabisa hasa iramba
View attachment 95556
Hivi inawezekana kwa vyama vingine kuyafanya haya?
Je tufanye nini sasa kuachana na mambo kama haya yasitokee tena?Kama CCM wanafanya haya je vyama vingine vikifanya hivi let's say katika jimbo lenye mbunge wa chama fulani akiwa katika ziara mambo yafanyike hivi,inawezekana?CCM huzitumia baadhi ya shule kufanya ujinga huu.
Mkuu Gefu nakumbuka wakati ule wa chipukizi kweli tulikuwa tunapiga kwata,lakini nchi ilikuwa ipo katika mfumo wa chama kimoja,leo hii tuna vyama vingi na bado tunayaona haya...hata mimi enzi hizo walituvalisha magwanda ya chipukizi...ptuuu..! wameviingiza chaka hivi vitoto...
Mkuu Gefu nakumbuka wakati ule wa chipukizi kweli tulikuwa tunapiga kwata,lakini nchi ilikuwa ipo katika mfumo wa chama kimoja,leo hii tuna vyama vingi na bado tunayaona haya