Picha:Hii imekaaje wadau wa Siasa?

Picha:Hii imekaaje wadau wa Siasa?

Mkuu Gefu nakumbuka wakati ule wa chipukizi kweli tulikuwa tunapiga kwata,lakini nchi ilikuwa ipo katika mfumo wa chama kimoja,leo hii tuna vyama vingi na bado tunayaona haya

..ccm hawajajua hili ndo kosa kubwa sana wanalolifanya kwa kuwa "adopt" watoto wadogo bila ridhaa yao, wakijitambua wataichukia milele maana watajiona wapo utumwani,mbaya zaidi wakiua na kukuta M4C wengi ni rika lao...
 
Huu ni udhalilishaji wa hali juu! wanafunzi wanaacha masomo wanampokea msomali!
 
Teh teh teh... lakini tulikuwa tuna furahi sana kupokea wageni....
 
Kupoteza muda wa watoto tu, kwanza hata hawaelewi lolote
 
Tutawashitaki hawa maccm ngoja siku zao zinahesabika,kwani ni marufuku kwa vyama vya siasa kuwatumia wanafunzi hasa wa shule za msingi na secondary kufanikisha mipango yao,kwani wanajua kabisa kuwa hizi ni dhama za vyama vingi,ccm wanajisahau kama kuna mfumo wa vyama vingi na wao ndiyo waliotunga sheria hii japo ndiyo wavunjanji wakubwa wa sheria
 
Back
Top Bottom