Nyumba inaharibika haswaKuna unyevu nyevu usioisha eñeo hilo.
Hapo kashayakanyaga. Ilitakiwa baada ya msingi awake water proof membrane ndio aendelee na ujenzi juu ya msingi.Suluhisho, ukarabati wa nyumba uwe wa mara kwa mara kama tunavyo fua nguo zetu na kuzivaa.
Itazuia juu juu hadi tiles zinapoishia ila ndani kutaathirika vile vileKuzuia weka Tiles
Moss plant ni fungus?Hio ni fangas husababishwa haswa na maji au unyevunyevu kwenye ukuta.
Hiyo ni moss plant? Nikajuaga zinaotaga kwenye mawe tu kumbe hadi ukutaniMoss plant ni fungus?
Hata mi nilitaka kumshauri hivi hivi. Pia kama kuna bati upande wa pili linaloshusha maji hapo kwenye tiles ni kimeo zaidi ya maji yanayotoka kwenye bati lake.Hiyo hali inasababishwa na maji, kwa hii ya kwako maji yanatokana na hizi mvua.
Yanatoka kwenye bati yanadondoka kwenye hizo tiles na kurukia kwenye ukuta, inaonesha hali imekuwa mbaya zaidi hiki kipindi cha mvua nyingi.
Suluhisho hapo uweke 'gata'.
Hapo kwenye msingi haukuweka kapeti.Hii imetokea kwenye kuta, husababishwa na nini hii hali?
View attachment 2877171
View attachment 2877172
Kama kuna njia ya kuzia pia ningependa kuifahamu.
Tiles za ukutani au za sakafuni?Kuzuia weka Tiles
Hiyo ni algae ni mimea midogomidogo inaota, ni vizuri uchukue lenzi ukuze uijue ilivyo.Hii imetokea kwenye kuta, husababishwa na nini hii hali?
View attachment 2877171
View attachment 2877172
Kama kuna njia ya kuzia pia ningependa kuifahamu.
UkutaniTiles za ukutani au za sakafuni?
.shida tunakumbia gharama.Hapo kashayakanyaga. Ilitakiwa baada ya msingi awake water proof membrane ndio aendelee na ujenzi juu ya msingi.
Duh! Hii kali.aldhi