Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Kwa Dr Shein sio,anamagari makubwa ya mchanga,amewakodishia wakandalasi wa barabara na majengo.
Unataka kuniambia unafahamu mshahara wake na kwamba hauwezi kununua malori ya mchanga kwa miaka kumi na ushee aliyotumikia ikulu?