PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

Jamani majina hakuna kabisa. Kama kazi ngumu basi tupeane homework kesho tuibuke na konkrit
 
Huyu anaweza kutoa ushahidi, ndani ya Polisi kuna wazalendo wa kweli akiwemo yule aliyejinyonga Morogoro ambaye alitaja watuhumiwa wanaolichafua jeshi la polisi, nawaachia vionozi hebu cheki huyu:

Askari huyu bila shaka alijeruhiwa na bomu hilohilo lililomuua Mwangosi an hapa alikuwa anasubiri kuondolewa. Tazama kwa makini umri wa askari aliyemfyatulia Bomu Mwangosi, ni Kijana mdogo kabisa, na tabia hii ya jazba ya vijana inahitaji ushauri ama sivyo itatupeleka pabaya.

Tatizo la uwezo wa vijana katika kutetea yanayowahusu si la CCM peke yake, CHDEMA pia wako kwenye shida hii ya kumudu hisia za vijana, na wakati mwingine wanatoa msimamo wa chama kusuppport ubaya uliyotendwa na vijana ili mradi tu kulinda support yao vijana kwa chama.

Tunahitaji kufanya jambo kuwasaisia viajana wetu kuchukua nchi hii katika umoja na kuheshimu mawazo ya kila mmoja si vitisho na ubabe wa upande wowote ule ukiwemo wa wale wanaosema damu itamwagika au nchi haitatawalika, kwani mimi nisiamini unachoamini si ndugu yako? Kwahiyo Dawa ni kuniangamiza, la hasha.

Na wale wanaotumia dola kuwaumiza wenye itikadi tofauti ilimradi tu uufurahishe utawala, unasahau kuwa utawala wa Mh Kikwete hauwezi kukulinda utaumbuka na kustaafu kwako kutakuwa kwa aibu ka isa sijui hamsomi alama za nyakati? Waulizeni akina Mgonja, je wewe ni nani?

TUHEHIMIANE NA TUDUMISHE UMOJA hata kama tuna mawazo tofauti.
 
...Kuna umuhimu sana wa kuwa na camera popote pale nchini hasa kwenye maandamano ya CDM ili kuweza kupata ushahidi kama huu. Bila kuwa na hizi picha polisi magamba wangelibadili hili ili kuonyesha waliofanya mauaji ni CDM....

Mbona matukio mengi tuu yanahitaji camera.Kuna mitaa fulani ,mji fiulani trafic wanashirikiana na jamaa wa kuchukua ushuru.Traffic wanamwita konda, wanaongea ana mkaripia na kumwelekeza akampe jamaa wa ushuru, halafu traffic anatukana na kulalama kuwa hawa watu hawalpi ushuru wanadhani nchi itaendaji, jamaa akifika kwa jamaa wa ushuru anatoa hela ,halafu anajifanya kuja angalia number anafanya kama vile kalamu inaandika kumbe zuga.Anampa traffic upadate kiasi gani konda asijekuwa kapiga cross.Kuna jamaa alishika hilo katika simu,tena confortably kwa vile hiace ilikuwa tinted(one way).Alichukua video yote, na hata huyu jamaa wa ushuru hadi karatasi.

Tatizo la huyu jamaa si mwaminifu kwa wife.Alipokea SMS na simu ya hawara yake alipofika home, wife alichoifanyia simu hapakuwa tena na njia ya kupata ile video, na hivyo nami sikuipata.Hope same place atapatikana mtu mwingine ndio maana sijapataja.
 
Picha kwa hisani ya Blog ya Ancle Michuzi

Askari+na+Mwangosi.JPG
 
Picha kwa hisani ya Blog ya Ancle Michuzi

Askari+na+Mwangosi.JPG
umeona huo moshi ehe?jamaa hajamhasi mwenzie kweli?Na wanavyojifanya vidume.Naomba asife, wanawake wasipate karaha za polisi kuwatomasa hovyo wakifika vituoni peke yao.Tume itumie hii picture kuangalia trajectory ya fire.Haya makitu kama nyumbu akili za depo mpaka leo?
 
Toa link tuone picha kwenye You tube tafadhari. Kwa kweli ni unyama mtupu! Mungu nusuru nchi hii hasa anzia kwa viongozi wote wadhalimu!
 
kuna jamaa yangu anasema alieshika bom na kumnyooshea marehemu anafanana na ndugu yake, naendelea kumdadisi anitajie jina
 
Hii mada nimeipenda ... waliopo iringa na viunga vyake wekeni majina ya hawa askari mumiani hapa jamvini

all eight suspects must be identified in this brutal and militant killing of an innocent Tanzania ..... and we know who our enemies are?

series and episodes continues
 
Wakitambuliwa kwa majina itakuwasafi sana maana hata wasipofikishwa mahakamani tutawapa treet justice iringa nyororo tunasubiri
 
we lijitu mwinzio nimetoka kwenye ban juzi tu usiniongezee nyingine swala la hiko kikaratasi unachoita kibali na roho ya mtu wapi na wapi kwani walikuwa wameomba kibali cha uwindaji na wamenyimwa wakaingia polini kama majangili? na uwalipue na rpg umbali wa mita moja? uoni kuwa ni wehu kuchukua roho ya mtu kwa kuwa hana kibali? ili atukubali tunawavutia pumzi kama kuchinja kobe (timing)
kibali cha kuandamana hakitoki polisi ila kipo moja kwa moja kwenye katiba ya tanzania,na polisi hawahusiki na utoaji wa vibali pili mwangosi hakuwa akiandamana alikuwa kazini.hebu mwulize swali hili kama mwangosi angekuwa baba yake angekuuliza swali kama hili.ila nimegundua watu wengi hatuzitumii elimu tulizopata kuboresha maarifa na hekima zetu bali tunasoma ili tupate kazi,na matokeo yake ndio unapata maswali kama haya.elimu haiongezi busara kaka mwache na mawazo yake.
 
Mungu anaanza kuwa hukumu mmoja mmoja maana tayari nchimbi na mwema wameshaanza kujichanganya handsome boy kakaa kimya anawaangalia tu.
 
Naamini watu wa Iringa mnapitapita humu hebu mdadisi basi jamani tujue majina ya hawa majambazipolice!
 
Tukishamjua halafu what next?

Tuachie vyombo husika vifanyie kazi hili swala, huko itakuwa kuanzisha ugomvi, fujo, mfarakano baina ya raia na askari.
 
Back
Top Bottom