Vichwa nazi, wamemuua ambaye katika matukio kama hayo wanatakiwa walindwe. Sasa watawaambiaje mabwana zao huko wanakoenda kuomba kila siku. Watageukwa muda si mrefu.akili hikaa kichwani kama kichwa kina ubongo. Kama hakina, basi akili hutafuta sehemu ya kujificha. Sijui akili yako wewe imekimbilia wapi baada ya kugundua kichwani hakuna ubongo.
Jeans ya blue umeiona wapi we chizi?tafadhali usijibu tena hii,potezea na blue yako.We si mwanachi wa kawaida,peleka ngozi yako kwingine **** wewe!ahsante mie chizi na wengine watusaidie mie na uchizi wangu nimeiona jeans ya blue na anaepigwa kikatili ana suruali ya khaki.ngoja nikatibiwe nikirudi niione ya khaki.
nhv huyu Ubungoubungo ana akili kweli acha usenge wewe,huyo jamaa angekuwa ndg yako ungelisema bahati mbaya au unaongea kwasababu limdomo unalo?
Nafikiri hiyo ilikuwa bahati mbaya, kwasababu ninavyoone imetokea, hiyo bunduki kwanza si ya risasi, ni ya mabomu ya machozi kwa wale wanaofahamu bunduki watakubaliana na mimi...
Hilo bomu la machozi wakati mwingine huwa linalipuka vibaya, na nionavyo mwili wa marehemu hapo umesambaratishwa kama na utumbo unaonekana na kuna askari mmoja kwenye hizo picha amedondoka chini kama askari wenzie wanamsaidia vile...
Hebu angalia vizuri..inaonyesha ni kama hapo ilo bomu limefyatuka kwa bahati mbaya likajeruhi marehemu na askari....ni maoni tu lakini....na hawa polisi wetu ambao wametoka depo juzi tu hawa hawajui hata madhara ya hizi vitu.
Kwa kuanzia hizi picha zipelekwe balozi zote na wafadhili wao wote na vyombo vyote vya haki za binadamu.Na maandamano hadi haki ipatikane!Yani nimeshikwa na hasira basi tu.Ngoja niende nikatembee kidogo nipoteze haya mawazo kwasasa.
mkuu ukombozi wa nchi haupo mikononi mwa mabalozi wala wahisani, ni sisi wenyewe kuamka, usitegee mabalozi waje wakukomboe, utangoja milele. ukombozi unaanza na wewe. tatizo wa TZ tuna threshold kubwa sana hata mnyanyaswe vipi mnasubiri malaika na miujiza!
Huko Iringa kuna Serikali kweli jamani? Polisi wanauwa watu namna hivyo?.@Candid Scope
Kama tukio lingekuwa ni la mtu kushukiwa ni jambazi, kesho tu taarifa ingetolewa ya jeshi limejitahidi na limefanikiwa kukamata majambazi lakini kwa hili tukio itachukua siku kadhaa kutoa taarifa kwa kujifanya kusubiri taarifa ya daktari (delaying technique huku wanaandaa nondo za kutoa kwa wananchi), jamaa (Daudi alikuwa ana coverage nzuri sana kwa Iringa - RIP mpiganaji)
Jamani ebu tuangalie Haya mambo upya Kama vipi jeshi la Polisi liunde upya
nimekusoma kaka. tujiunge pamoja kukomboa nchi yetu mama tanzaniaSijategema,hiyo ni just one of the steps,ili wajuwe chanzo ni kitu gani endapo hali itachafuka na sisi kama wananchi kuomba msaada wa kujilinda dhidi ya serikali dhalimu,endapo wataendelea kutumia nguvu na silaha za moto kuzima nguvu ya umma,umeelewa?
Halafu wewe unadhani hizo silaha wanazozitumia dhidi ya wananchi wanazitengeneza wao?
Ndugu yangu Nape,
Unapoyaona haya, wajisikiaje?