(Picha)Harusi ya Dr. W. Slaa (21.7.2012)

Zee zima...yani aibu kwelikweli.

Umejilengesha kwake umemkosa umejileta JF na vipicha vya ushawishi umemkuta hamaindishi, kaa kimya basi unatuaibisha wanawake wenzio mbona unang'ang'ania hivyoo kizuka weye

Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums
 
Aibu sana hii,bora wafiche wasifanye hadharani...kibibi nacho kitatinga shela au...can't wait..
 
@Kupeng'e acha umbea, beba ndizi na pilipili usisahau kijiko
 
Umejilengesha kwake umemkosa umejileta JF na vipicha vya ushawishi umemkuta hamaindishi, kaa kimya basi unatuaibisha wanawake wenzio mbona unang'ang'ania hivyoo kizuka weye

Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums

mwee!mama kacharuka!!pole mwaya!achana nae huyo!wivu unamsumbua tu!
 
anafungia wapi ndoa jamani tujuzane, dar au karatu na kanisa gani?
 
mmh...dakitariiiiiiiii......................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…