Nifah
Platinum Member
- Feb 12, 2014
- 34,417
- 82,372
Mimi sio mwanamke lakini nikiangalia tumbo la zari tu najua kabisa sio mimba.
Mastaa wanamnanga uko insta, wanatunisha matumbo yao na wenyewe wanasema wameshiba ugali na maji kwa wingi, hahahah hahahahh
Hahahaaa,watz kwa wivu bwana? Mimi naamini ana mimba bwana kule sio kudanganya!
Ila binamu mbona nasikia ndomo bado anachepuka japo yupo na murembo Zari?