Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

Picha: Hali ya Telaviv ni mbaya

Nimeipenda hii
Furaha yenu ni ndogo sana na haidumu kama furaha ya mwanamke aliyejifungua ingawa miezi tisa amepitia mateso.
Lakini hakika maisha yenu yote mpaka ulimwengu unaisha nakuahidi mtaishuhudia israel ikiendelea kuwanyoosha kisawasawa
 
Picha nyingi kutoka Israel ni AI sijui mnamdanganya nani
 
Ww jifariji tu ila si mda mrefu mtaamza free Iran huku yamewashinda mwanamke anatupeleka puta ila ya israeli hadi solution mnatoa ..achen umama wemu
 
Kumtungue benja haiwezekani,yule sio gaidi Ayatollah ambaye aliuliwa kama kifaranga cha kuku na hata Allah mwenyewe alishindwa kumlinda
Ikiwa kweli Yesu aliuawa kama mnavyosema mpaka kutundikwa msalabani, basi yeye ndo alikosa kabisa ulinzi. Mana aliuawa kwa marungu na mapanga tu wala hazikuwa risasi au bomu
 
Allah kama unamaanisha Mungu basi elewa Mungu hajihusishi na Mambo ya wanadamu
Mungu hajihusishi na mambo ya binaadamu kivipi Tena situna ambiwa kwamba Kila kitu mungu ndiye anayepanga !?

Halafu hiyo taarifa ya kwamba mungu hajihusishi na mambo ya binaadamu umeitoa wapi mkuu Wewe ndiye msemaji wa huyo mungu !?
 
Ikiwa kweli Yesu aliuawa kama mnavyosema mpaka kutundikwa msalabani, basi yeye ndo alikosa kabisa ulinzi. Mana aliuawa kwa marungu na mapanga tu wala hazikuwa risasi au bomu
Dahh 😄
 
Back
Top Bottom