Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 818
Duru.
Jipigie makofi matatu kwa Yanga kushindwa kwa Nabiiiiii wakeeeee!Sawa
Mmeshindwa kwa huyu?View attachment 2662080
Hersi kumbe naye mtu wa chupli chupli tuSawa
Mmeshindwa kwa huyu?View attachment 2662080
Lete yako ya sasaHiyo picha ya zamani.
Nikweli naikumbuka hii!!!Hiyo picha ya zamani.
Mbona Eng. Kabadilika au kafanya surgery huko kusini maana huyu sio Eng ninaemjua na kichwa cha habari kimeanza na neno picha.View attachment 2662244"....yupo hapa na walikuwa na Pitso lakini baadae kuna mkataba ataenda kujaza wa kumnunua mchezaji hatari!"
Duru.
Na wewe muda wa kujibizana nao unaupata wapi maana uko nao sambamba 24/7 hapa jukwaani.Wabongo kazi mnayo. Hivi huu muda wa kumfuatilia mtu kila anapokwenda/kila anachofanya, mnautoa wapi!
Ajashindwa bali ni kiburi tu.Yaani wameshindwa kulipa faini ya $66000 ndio mnawaza kumsajili Pitso
Yaani we acha tu! Anatupatia vilivyo.Huyu msomali anawapatia kweli gongowazi
Halafu usikute anaishi kwa shemeji yake!Wabongo kazi mnayo. Hivi huu muda wa kumfuatilia mtu kila anapokwenda/kila anachofanya, mnautoa wapi!