mkuu sio fisadi nakutajia na mengine
1,kuwapa sumu watu akishilikiana na apson
2,kuweka vipandikizi kwenye vyombo vya dora na kuvifanya kuonekana kama vyombo visivyokuwa na weredi wowote na akijua ni hatari kwa mstakabali wa taifa ,
hayu tu yanamfanya kukosa sifa,