Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Nashindwa kuelewa.
Headed paper ya CHADEMA ipo simple sana , ya kawaida na ya kishamba sana.
CHADEMA ni chama kikubwa sana.Ni taasisi yenye pesa nyingi. Mnashindwa kudesign headed paper ya maana ambayo ina mvuto kwa wasomaji na wapenzi wa chama chenu?
Mtaani kuna taasisi za kawaida sana lakini unavutiwa na barua zao.
Why not you ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Headed paper ya CHADEMA ipo simple sana , ya kawaida na ya kishamba sana.
CHADEMA ni chama kikubwa sana.Ni taasisi yenye pesa nyingi. Mnashindwa kudesign headed paper ya maana ambayo ina mvuto kwa wasomaji na wapenzi wa chama chenu?
Mtaani kuna taasisi za kawaida sana lakini unavutiwa na barua zao.
Why not you ?
Sent using Jamii Forums mobile app