Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
yaani hata hafahamiki town bora hata Dr. Toure au Felix Mrema huyu hata viti maalum alibebwa
Huyu ndie mgombea wa CCM wa ubunge jimbo la Arusha. Anaitwa Namelok Edward Sokoine. Kwa mtaji huu, Lowassa camp vitani tena kumnadi!View attachment 51094
Kwani Sioi ulimfahamu kabla???
Kwani Sioi ulimfahamu kabla???
yaani hata hafahamiki town bora hata Dr. Toure au Felix Mrema huyu hata viti maalum alibebwa
Huyu ndie mgombea wa CCM wa ubunge jimbo la Arusha. Anaitwa Namelok Edward Sokoine. Kwa mtaji huu, Lowassa camp vitani tena kumnadi!View attachment 51094
Huyo Namelok alshaambiwa awe na subira mpaka hapo Lowasa atakapompisha jimbo la Monduli