Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,948
- 18,648
Huyu jmaa atavuruga kila biashara ilyopo tz. Kwa sasa krosho ndyo imeshavrugwa, sasa hiv biashara ndogo ndogo. Mtaji chini ya 4 mi tunaanzia tuvibanda vya mpesa, vinyozi, na viduka vidogo vdgo vya mtaan ambavyo vilkuwa tyar vmelipishwa kodi na leseni za biashara wamechukua.sasa hv wakienda kukusanya kodi wataambiwa ni less than 4m