Picha Arumeru watu wakishangilia

Wanashangilia ushindi wao wa tia maji tia maji utaishia mahakamani soon
 
If you want to feel the joy, you must be willing to suffer. CDM, imepambana na kushindwa, sehemu nyingine kwa hila na wizi, kwa mara nyingi sana mpaka ikawa inakatisha tamaa, lakini sasa wamewapa wanachama wake na mashabiki kile kitu walichokuwa wanakisubiria kwa muda mrefu sana

Kwa hamasa hii, ari hii na ushindi huu, hakika ukitokea uchaguzi mdogo mwingine, CCM watakuwa na kazi ya ziada. Moto huu uwe mpaka 2015. Hata muwinda huwindwa, sasa ni zamu yao kusoma namba. It is the beginning of the end
 
safiiii saaaaannnaaaaaaaaaaaa

peoples poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer

MAGOGONI 2015.
 
Wanashangilia ushindi wao wa tia maji tia maji utaishia mahakamani soon

Kwa matusi yale ya Lusinde na Nchemba nendeni tu, kitaeleweka huko huko. Na hiyo ni salamu kwa hukumu ya Lema mvueni ubunge mje tena mchambie maji ya moto.
 
Jimii atakuwa kanielewa......ukiwa mwenyeji wa kipande hii lazima ujue hiyo....
Nareeee Losambooo......


Hayambeeee Preta, kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeh! JF ingekuwa hivi ingekuwa raha na mimi naweza kuanzisha lugha yangu ya ki IT tukaelewana kama 00000001000011110000, 0000120000000 mpaka hapo?
 
Back
Top Bottom