Picha Arumeru watu wakishangilia

Picha Arumeru watu wakishangilia

hongera sana makamanda,tunawatakia kila la kheli, karibu nassari mjengoni uungane na makamanda wenzako
 
inapendeza sana watu wanapoonyesha mapenzi na hisia zao kama kwenye hizo picha hapo juu
 
Safi sana mkuu!
iNATIA HAMASA SANA!
Zilete zaidi!
PICHA ya kwanza na ya pili juu, shati jeusi mbele kabisa, unamfahamu pj?
Hahahaha Mkuu PJ HONGERENI sana kwa ushangiliaji huo nami natamani kama ningekuwepo hapo! lakn still naenjoy sana
 
Wanashangilia ushindi wao wa tia maji tia maji utaishia mahakamani soon
Mjomba mmechokwa na waTz nyie sema 2015 inachelewa sana,imekuuma éh! chukua sumu ya Panya unywe ukafie mbali kabisa,muone kwanza ndio nyie mmetuletea Maisha magumu mpaka sasa,nna hasira sana na watu kama wewe,muone kwanza una akili za BATA
 
Wanashangilia ushindi wao wa tia maji tia maji utaishia mahakamani soon[/QUOT Mpaka mfilisike magamba, Mwaka jana imewatoka bilioni 3, Igunga, mwaka huu Arumeru itakuwa imewatoka 10, ukija uchaguzi mdogo mwingine chama kitakuwa taabani. Ndiyo maana Mkama hakuonekana Meru.
 
Natamani segerea haraka raha ihamie mjini , maana najua wke wa ccm nao watasimamisha mtu
 
Natamani segerea haraka raha ihamie mjini , maana najua wake wa ccm nao watasimamisha mtu
 
Jimii atakuwa kanielewa......ukiwa mwenyeji wa kipande hii lazima ujue hiyo....
Nareeee Losambooo......


Lol, inafananaga na ile ya "ba mutu ba magamba batalokota benyewe ku-nyavu"
 
Natamani watengue ushindi wa Lema hapo kesho kutwa ili tupimane tena ubavu.
 
Hamasa ni kubwa, wana wa Arumeru tunashukuru kwa zawadi nzuuuri ya pasaka. Huu ni ujumbe malidhawa kwa CCM, Bila ku-deliver propaganda hazisaidii!
 
Safi sana. Kila la heri Joshua uthibitishe kuwa wameru wamefanya uamuzi sahihi na Chadema tunaiamini.
 
PJ nimekupata hata kama maandishi umeweka wino usiokoleza
Hongera sana mkuu kwa kuwa mstari wa mbele kushangilia ushindi
 
Leo hata kzi hazifanyiki kwa raha, yaani hwa sisiemu walivyonikera sina hamu, daah viva CDM.
 
Hongereni CHADEMA.

Lakini mara zote tukumbuke matatizo ya nchi yetu ni makubwa kuliko chama gani kiko madarakani. Ingawa tunaweza kusema utamaduni wa kutoa vyama tawala vinavyoshindwa kuleta maendeleo unafaa kuchochea maendeleo.
 
Back
Top Bottom