Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Watasema hakuna maandamano maana kuna ajali.....
Watasema hakuna maandamano maana kuna ajali.....
Kumbe unaifahamu hiyo road! Ukiwa na gari nzuri unaweza usiamini macho yakoHii itakua road mpya Bagamoyo-Msata maana mkeka umetulia,Poleni majeruhi mungu awatie nafuu
MIMI NI CHIKIRA MTABARI, NAFANYA KAZI ZA KILIMO CHA UFUTAChikira, kwa vile wewe ni verified user, wewe ni nani na uko, unafanya nini.
Tungefurahi zaidi ungetuambia kilichosababisha,,Ajali imetokea muda huu eneo la Sanzale Bagamoyo, ambapo gari mali ya kampuni ya Pepsi limegongwa na Lori la mizigo. Dereva wa Center amejeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali.
Tutakujuza zaidi Sikiliza 100.5 Times Fm kwa taarifa zaidi.
View attachment 390383
Watu watakua washafanya yaoMBONA KRETI TUPU??
Mwanza likiwahi anguk lorry La bia mjini round about ilikua alfajir SAA 11 ikaombwa anayekunywa anywe ila chupa waziache,basi nasikia watu wakazikalia pembeni ya Barabara wakazipiga vzr zile beer zilizomwagika,swali likaja hawa mshuhuda waliamkia kwenye shughuli zao lkn ghafla wakakutana na ajali..vipi MTU unaweza amka kwenda kazini ukutanapo na pombe ya Bure unasahau kila kitu?maana wengine waliondoka kwa kushikiliwa!Ingekuwa ajali ya gari la Bia hata idadi ya mashuhuda ingekuwa kubwa..wangenena kwa lugha siku hiyo...pole yao majeruhi
Hata kama kuna aliyekufa nayo ni kheri pia. Tunashauriwa kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Kumbuka kila nafsi itaonja mauti, na anayekufa anajaza lake kaburi, makaburi mengine yanatusubiri wote!Kama hakuna aliyekufa ni jambo la kheri.
Hahaa siyo Mwanza tu hata Makambako liliwahi anguka kipindi kaibu na sikukuu ya Christmas watu hawakuweza kunyanyuka mbonaMwanza likiwahi anguk lorry La bia mjini round about ilikua alfajir SAA 11 ikaombwa anayekunywa anywe ila chupa waziache,basi nasikia watu wakazikalia pembeni ya Barabara wakazipiga vzr zile beer zilizomwagika,swali likaja hawa mshuhuda waliamkia kwenye shughuli zao lkn ghafla wakakutana na ajali..vipi MTU unaweza amka kwenda kazini ukutanapo na pombe ya Bure unasahau kila kitu?maana wengine waliondoka kwa kushikiliwa!
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app