Hongera zao! Ila tatizo kubwa kwa vyama vyote vya siasa Tanzania ni kwa wabunge kupora madaraka ya Halmashauri walizomo. Amini usiamini Wabunge huwa hawafurahii kupata Mameya watakakofanya kazi zao kwa ufanisi.
kumbe walikuwa na madiwani wengi hivyo?