khalifa kijangwa
Member
- Jun 2, 2013
- 6
- 0
elimu ya tanzania kwa mwaka huu imeshuka kupita kiasi na wanafunzi wamefeli sana japo kuna malekebisho walofanya.lakini masomo ya sayansi hasa phisikia watu wamefeli sana. Ipi sababu ya health fund kusema physiksi lazima wakati wanajua watu wamefeli sana. Myaka yote hiyo ilikua physics/mathe mwaka uu kunani sikukomoana uku