Photocopier & printer

Photocopier & printer

Mkuu. Katika kampuni utapata Photocopier Machine za Color band new Konica minolta bizhub C220 kwa tsh 13,000,000. Konica minolta bizhub c224 kwa tsh 15,000,000.tu. Guarantee mwaka mzima.

Ila kama unataka used utapata Xerox 7232 au 7242 kwa tsh 4000000.
Tupo kariakoo , dar . tel 0766320252
 
Mkuu,

Nakushauri ununue photocopy aina ya CANON image runner 2420. Ki ukweli ni photocopy ya kisasa halafu haili umeme, umeme unaotumia ni kama wa printer.

Ukija kwenye maintanance yake ni very minimum na output ya photocopy ni karatasi 9,000 - 11,000. Kingine ni kuwa unaweza ukaiunganisha na computer ikawa hiyohiyo ni printer and at the same time ni photocopy.

Toner yake inacost 80,000 ila zipo nyingine nimeziona dar wanauza kwa 40,000 nimeshanunua ila sijazijaribu.

Mashine kwa kuwa mimi niko Tanga nilinunua mpya kabisa kwa 1,900,000 lakini kwa Dar nilijaribu kuuliza Jamhuri Stationers mtaa wa jamhuri opposite na NBC kichwele branch wanauza 1,800,000.

Ni hayo mkuu...............
Used photocopy machine kwa bei poa na zipo vizuri
 
kwa performance nzuri na affordability kwa kazi za stationery usitafute printer nje ya HP. Asilimia kubwa ya catridge zake unaweza kurefill, kiujumla maintainance yake ni rahisi. Kwa printer nzuri, mpya aina ya HP yenye kuprint coloured na black and white bei zake ni laki na 30 mpk na nusu.

Kwa HP Photosmart, kama ungependa kupiga picha or passport za fasta pia ni nzuri.

Kwa mazingira yako, usithubutu kununua printer aina ya canon, lexmark, epson nk.


Kwa photocopier machine brand nzuri ni Canon. Bei zake hulingana na specifications zake. But kwa used iliyo ktk hali nzuri huanzia laki 9 na kuendelea.

kwa maelezo zaidi 0225504818 or 0718657503
Used photocopy machine kwa bei poa na zipo vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom