Huu msemo ndo mwenzake ni kifo ni kifo????Kazi Ya Mungu Haina Makosa
LeftWho is the third, from left to right?
Mungu Kaamua UgomviHuu msemo ndo mwenzake ni kifo ni kifo????
RIP Dr. Mahiga.We feel sad
What happened?View attachment 3274379
Kipenyo MwaminifuRIP Dr. Mahiga.
Labda alijitoa kafara kwa ajili yetu.Halafu waliondoka kwa kufatana, huyu wa mwisho Ambae ni jpm alivyoondoka tu na heka heka za uviko ikawa hamna Tena mpaka sasa bado najiuliza Nakosa jibu yani magu alivyofariki tu na issues za COVID zikawa kimyaa!!
Nadhani unakumbuka zile heka heka za updates za wagonjwa na maambikizi mapya, mara barakoa, mara lockdowns ila alivyofariki tu yote hayo yakapotea nchi ikawa kimya kama hapakuwa na covidLabda alijitoa kafara kwa ajili yetu.
Na kama ni hivyo, basi tunashukuru maana kwa kufa kwake, covid 19, iliisha!
Mr. X.Kipenyo Mwaminifu
Na Kwenye Mazishi Watu Waliudhuria Bila Kuvaa Barakoa Na Salamu Za Mikono Kama Kawa.Nadhani unakumbuka zile heka heka za updates za wagonjwa na maambikizi mapya, mara barakoa, mara lockdowns ila alivyofariki tu yote hayo yakapotea nchi ikawa kimya kama hapakuwa na covid