Photo interpretation


Mkuu nakubaliana nawewe kwani CCM ni sawa na chama cha ufalme kwa madaraka, na kwa ulafi wa mali za umma ni sawa na chama cha majuha, wao siku zote wanajua wananchi wao ni majuha na mafala tht y wanaongoza kujenga maskan za wakereketwa na kuwalaghai watu na mivao yakanga pmja na tshrt mbovu za kuvulia samak kama majarife, na wananch wameridhika, hawa CCM wanatutia vidole halafu wanatunusisha wenyewe.....
 






Haya ndo mambo wanayo yajua wanafanya upumbav vijijini wanakufa na njaaaaa...... CCM CCM oooooooh CCM namber oney..... Hiyo ndo nyimbo Yao wakiwacheka wananchi wao...
 

Hiyo ni sehemu ya kupigia kura
 
...Kweli CHADEMA imesheni ma - jobless , unapata wapi muda wa kuweka picha kama hizo mtandaoni?

unataka iwekwe ipi? ya jk. akibembea?au kwa sababu hapo ni msalani ndo hupendi? we ni mtu mjinga sana..... .......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…